Mh. Halima Mdee
Kipitia ukurasa wake wa twitter Mh. Mdee ameandika kwamba
"Tunamsindikiza jemedari wa mageuzi Mhe. Philemon Ndesamburo kwenye nyumba ya milele!, porojo za Dodoma haziniumizi kichwa" aliandika Mdee kupitia ukurasa wake wa twitter.

Ujumbe wa Mh. Halima Mdee





