Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yaja na 'Iga Ufe'

Monday , 29th Jul , 2019

Klabu ya Soka ya Simba, imezindua wiki maalum ya kuelekea tamasha lake la siku ya Simba (Simba Day), litakalofanyika Agosti 6, 2019, ambapo kwa mwaka huu wamekuja na kauli mbiu inayosema 'Iga Ufe, This Is Next Level'.

Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, Msemaji wa Klabu ya Simba, Haji Manara amesema kwa mwaka huu tamasha hilo litakuwa la aina yake.

"Tukio letu la wiki ya Simba limeigwa maeneo mbalimbali, lakini sisi tutataka kulifanya kwa ubora zaidi, na kauli mbiu yetu itaitwa 'Iga Ufe, This is Next Level #10 Years Anniversary Of Simba Wiki" amesema Manara.

Awali Mtendaji Mkuu wa Simba Crescentius Magori, amesema wiki ya Simba imetawaliwa na matukio mbalimbali ikiwemo utoaji damu, pamoja kutoa misaada kwenye Hospitali mbalimbali nchini.

"Tarehe 3 Agosti, nchi nzima iwe nyekundu, twende kwenye Mahospitali tukawasaidie watu wasiokuwa na uwezo. Mungu ametujaalia mwaka jana tumefanya vizuri sana inabidi mwaka huu tupate baraka za watu hawa wenye uhitaji." amesema Magori.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma