Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Changamoto zetu kama za Afrika Kusini - Majaliwa

Friday , 16th Aug , 2019

Rais wa Afrika ya Kusini Cyril Ramaphosa leo Agosti 16, ametembelea eneo la Mazimbu mkoani Morogoro, eneo ambalo linaonesha uhusiano mkubwa wa kihistoria kati ya nchi za Tanzania na Afrika Kusini.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa

Eneo hilo ndilo lililotumika kuwekea mijadala ya kupinga vuguvugu la ubaguzi wa rangi  katika nchi ya Afrika Kusini.

Akizungumza katika sehemu ya hotuba yake, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema mahusiano ya kihistoria kati ya Tanzania na Afrika ya Kusini yameendelea kushamiri kutoka na utangulizi wa viongozi walioweka misingi imara ya kuzuia ubaguzi wa rangi kwa nchi za Afrika.

''Changamoto zinazoikabili Tanzania katika nyanja mbalimbali zinafanana sana kwa kiasi kikubwa na changamoto ambazo ziko Afrika Kusini. Hii ni kutokana na historia yetu ya kijiografia kwa maana watu wa Afrika Kusini ni wale watanzania wote waliowahi kukutana na changamoto ya ubaguzi wa rangi na kutothaminiwa utu wao dhidi ya wakoloni'', amesema Waziri Mkuu

Katika ziara yake mkoani humo, Rais Ramaphosa atatembelea katika vyumba mbalimbali na kukiona chumba cha kwanza kilichotumika  kufanya mijadala kabla ya kwenda nchini Afrika Kusini  kupambana, pia ametembelea makaburi  ya mashujaa walioenda kupigania haki ya ubaguzi wa rangi na kupanda mti kama kumbukumbu katika eneo hilo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala