Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kinyago chaundwa kwa miaka 4, chauzwa milioni 50

Friday , 16th Aug , 2019

Unapostaajabu kazi ya sanaa ilivyo, yakupasa kufikiria na ubunifu wa watengenezaji wa kazi zenyewe ikiwemo vinyago vyenye muundo wa aina mbalimbali.

Muuzaji wa kinyago chenye thamani ya milioni 50

Ukipita katika eneo la Mwenge Jijini Dar es Salaam, sehemu panapouzwa vifaa mbalimbali vya sanaa maarufu kama Vinyago, utakutana na kinyago kilichochongwa kwa zaidi ya miaka minne kuanzia mwaka 2008 na kukamilika June 2012, kinyago kilichomlazimu mchongaji kutumia akili kubwa zaidi ili kukimaliza.

Inaelezwa kuwa kinyago hicho kilichongwa na mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Joacqim Mpende, na mfanyabiashara wa kinyago hicho anaitwa Vitaly Katani, ambapo ameeleza kuwa bei ya kinyago chake kwa sasa ni milioni 50.

Inadaiwa wamekuwa wakipatikana wateja wa kukinunua, lakini changamoto iliyopo ni namna ya upatikanaji wa vibali vya kusafirisha kazi ya sanaa nje ya nchi.

Mtazame hapa akizungumza.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa