Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Namthamini ni ya tofauti'' - Afisa Elimu Tabora

Friday , 16th Aug , 2019

Afisa Elimu Vifaa na Takwimu (Sekondari) Manispaa ya Tabora, Bi. Halima Athumani Sangali, ameisifu Kampeni ya Namthamini kwa kujikita kusaidia shule za Vijijini tofauti na ambayo huwa wanafanya wadau wengine.

Wanafunzi wa shule ya Sekondari Ikomwa iliyopo Manipsaa ya Tabora

Bi. Halima ameyasema hayo leo Agosti 16, 2019, wakati akipokea taulo za kike kwaajili ya wasichana wa shule ya Sekondari Ikomwa, iliyopo takribani Kilometa 50 kutoka Tabora Mjini.

"Kampeni hii ya East Africa Television na East Africa Radio nimeipenda sana ni ya tofauti na nyingine, mnafika vijijini kwa wahitaji wenyewe, niwapongeze kwa leo kufika hadi huku Ikomwa ambako huwa hapafikiwi mara kwa mara na wadau" - Amesema Afisa Elimu Bi. Halima.

Afisa Elimu Vifaa na Takwimu (Sekondari) Manispaa ya Tabora, Bi. Halima Athumani Sangali akipokea pedi.

Aidha ameongeza kuwa taulo hizo za kike zitawasaidia wanafunzi kuongeza ufaulu kwani watajikita zaidi kwenye masomo na kuepuka utoro na vishawishi vingine.

Kampeni ya Namthamini ambayo imeshafikia wanafunzi wa kike zaidi ya 5000 ndani ya miaka mitatu, inaendelea kugawa taulo kwa shule mbalimbali ambapo kwa mwaka huu tayari imefika katika mikoa ya Manyara, Arusha na Tabora.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa