Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Matatizo ya wanafunzi wa bweni yatatuliwa

Sunday , 18th Aug , 2019

Jumla ya wasichana 170 katika shule ya Sekondari Tura iliyopo Uyui Tabora,  wamepata taulo za kike watakazotumia kwa zaidi ya mwaka mmoja.

Makabidhiano ya taulo za kike katika Shule ya Sekondari ya Tura

Shule hiyo iliyopo zaidi ya kilometa 150 kutoka Tabora mjini ni shule ya Bweni kwa wasichana ambapo Mkuu wa shule hiyo Adam Shaban Mangao, ameeleza kuwa taulo hizo zitasaidia kupunguza matatizo kwa wanafunzi wawapo bwenini.

''Kampeni ya Namthamini itatatua tatizo wanafunzi kubaki bwenini na kukosa masomo maana ndio tatizo ambalo limekuwa likisababisha kupunguza ufaulu kutokana na watoto hawa kulazimika kukosa vipindi wanapokuwa kwenye hedhi lakini hawajatumiwa fedha za kujikimu na kuweza kununua taulo hizi'', amesema.

Aidha Mwalimu Mangao, amezipongeza na kuzishukuru East Africa Television na East East Africa Radio kwa kuichagua shule ya Tura, kuwa miongoni mwa shule nyingi zitakazofikiwa na Kampeni ya Namthamini mwaka huu.

Zoezi la ugawaji wa taulo za kike katika shule 4 za mkoani Tabora lilikamilika Jumamosi Agosti 17, 2019, ambapo zaidi ya wanafunzi 500 wamepata taulo za kike kwa mwaka mzima.

Shule nyingine zilizofikiwa katika mkoa huo ni pamoja na Ikomwa, Ndono pamoja na Idete, ambapo timu ya East Africa Television na East Africa Radio iliambatana na mkuu wa mkoa huo Aggrey Mwanri.

Katika mwaka wake wa tatu, Namthamini imefanikiwa kufika katika mikoa ya Manyara, Arusha na Tabora huku ikitarajiwa kufika katika mikoa mingine ikiwemo Dodoma.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma