Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Iringa waomba Kampeni ya Namthamini iwafikie

Monday , 19th Aug , 2019

Serikali mkoani Iringa imeombwa kuweka utaratibu wa kugawa bure taulo za kike katika shule za msingi na sekondari ili kunusuru afya za wanafunzi wakike ambao wanalazimika kutumia vitambaa ambavyo si salama.

Wanafunzi wa shule ya sekondari Selebo

Ombi hilo limewasilishwa serikalini na wanafunzi wa shule ya sekondari Selebo, iliyopo katika kijiji cha Ilawa wilayani Kilolo mkoani Iringa, ambapo wamesema wakipatiwa taulo hizo itawasaidia kusoma vizuri kutokana na kuepuka usumbufu wanaopata wanapokuwa kwenye hedhi.

Imeelezwa kwamba wanafunzi hao wa kike hulazimika kutumia vitambaa ambavyo si salama, kujistiri pindi wanapokuwa katika kipindi cha mabadiliko ya miili yao, kutokana na kushindwa kumudu gharama za taulo zinazouzwa madukani.

Aidha wanafunzi wa shule hiyo ambayo ina jumla ya wanafunzi 475 kati yao wasichana wakiwa ni 244, wameomba Kampeni ya Namthamini inayoendeshwa na East Africa Television na East Africa Radio, iwafikie shuleni kwao, kama ambavyo mwaka huu tayari imefika katika shule za mikoa ya Arusha, Manyara na Tabora.

Zaidi tazama Video hapo chini
 

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi