Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ajali Morogoro : Vifo vyafikia 100

Wednesday , 21st Aug , 2019

Hadi inafikia majira ya asubuhi ya Agosti 21, 2019 idadi ya vifo vya majeruhi wa ajali ya moto iliyotokea mkoani Morogoro, imefikia 100 .

Hatua hiyo hiyo inakuja, baada ya majeruhi mmoja aliyekuwa amelazwa chumba cha wagonjwa mahututi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili,  kufariki usiku wa kuamkia leo.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kutoka Hospitali ya Muhimbili Aminiel Aligaesha ,  amesema waliofariki ni Mazoya Sahani, Khamis Marjani na Ramadhani Magwila, na kusema kuwa majeruhi waliobaki ICU ni 13 na wawili wamelazwa wodi ya Sewahaji.

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ilipokea jumla ya majeruhi 47, ambapo hadi sasa, wamesalia majeruhi 15, huku wengine 32 wakiaga dunia.

Ajali hiyo ilitokea Agosti 10 katika eneo la Msamvu mkoani Morogoro  baada ya Lori la mafuta kuanguka na watu kujitokeza eneo la ajali, kwa nia ya kuchota mafuta na ndipo mlipuko wa moto ulipotokea na kusababisha majeruhi na vifo ambavyo hadi sasa vimefikia 100.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi