Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lindi : Aliyembaka mtoto wa miaka 10 ahukumiwa

Friday , 23rd Aug , 2019

Mahakama ya Wilaya ya Lindi imemuhukumu bwana Issa Seif Mpanyanje (51) kifungo cha miaka (30) gerezani, baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wa miaka kumi.

Hukumu hiyo imetolewa na Mahakama hiyo, chini ya Hakimu Liliani Rualabamo, baada ya kuridhishwa bila shaka, na ushahidi uliotolewa na upande wa mashitaka.

Hakimu Rugalabamo akitoa adhabu katika kesi hiyo, amesema kutokana na sheria kumshika mikono, amemuhukumu kwenda gerezani miaka 30 na atakapomaliza adhabu yake amlipe mlalamikaji fidia ya Sh. milioni 2.

Awali ilidaiwa Mahakama ilielezwa kuwa mshtakiwa kwa kutambua anachokifanya ni kosa, April 14, 2019, maeneo ya mashambani, alimbaka mlalamikaji na kumsababishia maumivu makali sehemu zake za siri.

Aidha mshtakiwa alimshawishi mlalamikaji waende Shambani akamsaidie kuvuna karanga na baada ya kufika huko shamba alianza kumtomasa tomasa, kisha kumbaka huku akimtaka kutomwambia mtu yeyote.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala