Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchenga watishia wapinzani wao, "tupo palepale"

Monday , 26th Aug , 2019

Mabingwa watetezi wa michuano ya Sprite Bball Kings, Mchenga Bball Stars wameendeleza tambo zao mbele ya timu zingine kuelekea hatua ya 16 bora, itakayopigwa wikiendi hii.

Mabingwa watetezi, Mchenga Bball Stars

Akizungumza kwa niaba ya timu hiyo katika droo ya hatua ya 16 bora, iliyofanyika katika ofisi za EATV, nahodha wa Mchenga Bball Stars, Mohammed Yusuph amesema kuwa wao bado wapo vile vile na wana nafasi kubwa ya kutetea ubingwa kwa msimu wa tatu.

"'Basketball' ni mpira wa kucheza uwanjani na hauwezi kuwa bingwa bila kucheza na timu ngumu. Mashindano ni mazuri, watu wamesajili timu zao lakini bado Mchenga ana nafasi yake palepale", amesema nahodha wa timu hiyo maarufu kama 'Mudi'.

Naye kwa upande wake, mwakilishi wa timu ya Temeke Heroes, ambao ndiyo wapinzani wa Mchenga katika hatua ya 16 bora amesema kuwa walikuwa wakiomba tangu mwanzo wa mashindano wapangiwe na Mchenga ili wawatoe mapema na ndoto yao imeshatimia, kilichobakia ni kutimiza.

Hatua ya 16 bora inatarajia kufanyika Septemba 7 na Septemba 8 katika Uwanja wa Don Bosco Oysterbay, Jijini Dar es Salaam.

Mashindano haya yanafanyika kwa msimu wa tatu yakiandaliwa na East Africa TV na East Africa Radio kwa udhamini wa kinywaji cha Sprite, ambapo mshindi wa mashindano atajishindia kitita cha takribani 10 milioni.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi