Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ray aeleza idadi ya watoto wake

Monday , 2nd Sep , 2019

Muigizaji Mkongwe wa Bongo Movie Vincent Kigosi 'Ray', amenyoosha maelezo kuhusu watoto ambao anataka kuwa nao katika familia pamoja na kutumia ukongwe wake katika kazi zake.

Vincent Kigosi 'Ray'

Ray ameieleza hayo EATV & EA Radio Digital, baada ya kuulizwa kuhusu kukaa kimya kwa muda mrefu.

"Mimi ni mkongwe mtu wa zamani, hata mambo yangu nitayachanganya kizamani na kisasa ili nipate kitu kikubwa katika soko la filamu la Tanzania, sijaonekana siku nyingi lakini nakuja sasa, sisi ni watu wazima tunaangaliaga tulikosea wapi na tunatakiwa kuelekea wapi".

Aidha ameendelea kueleza kuwa ana kitu kikubwa anakifanya kinakuja kuanzia mwezi Oktoba mwanzoni au mwishoni ambapo ataangalia ratiba yake itakavyokuwa kabla ya mwaka huu haijaisha.

Pia ameeleza kuhusu mpango wa kuongeza watoto wengine ambapo amesema kila kitu ni mipango ya Mungu, hata mtoto wao hawakupanga kuzaa ila imetokea ikawa hivyo, ila anategemea kupata watoto wawili tu anafunga kazi.

Hata hivyo Ray amesema ana mpango wa kuachia filamu itakayohusu maisha yake na familia kuanzia mtoto wake na mama wa mtoto huyo Chuchu Hansy.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma