Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yo! Street na Dream Chasers wavimbiana 16 bora

Monday , 2nd Sep , 2019

Kivumbi cha michuano ya Sprite Bball Kings 2019 kinaendelea kupamba moto kuelekea katika hatua ya 16 bora inayotarajia kufanyika wikiendi hii Jijini Dar es Salaam.

Wachezaji wa Yo! Street

Michuano hiyo inafanyika kwa msimu wa tatu mfululizo, ikiandaliwa na East Africa TV na East Africa Radio kwa kushirikiana na kinywaji cha Sprite.

Timu mbalimbali zilizofuzu hatua ya 16 bora zimeendelea kujigamba kuelezea maandalizi yao, ikiwa ni siku nne zimebakia kufika Jumamosi Septemba 7 na Jumapili ya Septemba 8, ambapo michezo hiyo itapigwa katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay.

Akizungumza kuelekea mchezo huo, mwakilishi wa Yo! Street aliyefahamika kwa jina la Jovin amesema, "mimi naamini kwamba timu iliyojipanga vizuri itashida, Dream Chasers tunawajua wana timu nzuri lakini mchezo ni 'Quarter nne kwahiyo mwenye timu nzuri atashinda".

Naye mwakilishi wa Dream Chasers amesema kuwa timu yake ina vijana wengi wapato wanne kutoka Ligi ya Kikapu Dar RBA kwahiyo hakuna wasiwasi juu ya uwezo wao, wakiamini watashinda mchezo huo.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma