Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Amkeni Bwana....wamerudiana wana!!

Tuesday , 3rd Sep , 2019

Ni takribani siku 4 zimepita tangu kuachiwa kwa wimbo wa pamoja Nandy na Billnas unaokwenda kwa jina la Bugana, ambapo ndani ya siku hizo hizo 4 umeweza kutazamwa na watu zaidi ya laki 5.

Nandy na Billnas

Wimbo wa pamoja kati ya Nandy na Billnas umeondoa taswira ambayo ilikuwepo kwa mashabiki wengi, ambao walikuwa wakiamini kuwa wasanii hao ambao wamewahi kuwa wapenzi hawana maelewano.

Kupitia Instagram zao wamekuwa wakiweka picha kadhaa huku zikiambatana na maneno ambayo yamekuwa yakionesha uchokozi, huku mashabiki wengi wakitoa maoni yao kuonesha watu hao huenda wapo pamoja.

Mojawapo ya 'Post' ambayo imepata Komenti nyingi, imewekwa na Nandy akiwa na Billnas kisha kuandika "Eti tunafanana na bro wangu?????"

Katika komenti wengi wameonesha kupinga hilo huku wengine wakitumia lugha kali, kejeli na kuwadhihaki wawili hao huku wakiitaja mara kwa mara video yao ya pamoja ambayo iliwahi kuvuja.

"Bro tena Nandy kwa 'kiss' lile jamani tuoneeni huruma basi mnatuchanganya," aliandika shabiki.
"Nandy unajua kuvuruga watu," aliandika shabiki mwingine.

Kwa mujibu wa Nandy na Billnas wanasema kwa sasa ni marafiki wa kawaida na ukaribu ambao watu wanauona NI kwaajili ya kibiashara zaidi lakini mashabiki wengi hawakubaliani na hilo.

"AMKENI BWANA ....WAMERUDIANA," aliandika shabiki mwingine

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala