Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Timu zatambiana studio kuelekea 16 bora wikiendi

Wednesday , 4th Sep , 2019

Kuelekea katika hatua ya 16 bora ya michuano ya Sprite Bball Kings 2019 wikiendi hii, Septemba 7 na 8, timu mbalimbali ambazo zimefuzu hatua hiyo zimeendeleza tambo.

Miongoni mwa wawakilishi waliozungumza, kulia ni timu ya Mchenga

Kwenye ziara yao katika studio ya East Africa Radio leo, wawakilishi mbalimbali wa timu hiyo wameendelea kutambiana, ikiwa zimebaki siku mbili kabla ya kivumbi cha hatua ya 16 bora kufanyika katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay, Dar es Salaam.

Baadhi ya wawakilishi hao ambao wamezungumza leo ni nahodha wa mabingwa watetezi wa michuano hiyo msimu uliopita Mchenga Bball Stars ambaye ni Mudi alikuwa studio katika kipindi cha East Africa Breakfast pamoja na mwakilishi wa wapinzani wao Temeke Heroes kama inavyoonekana hapa chini.

Kwa upande wa mwakilishi wa Temeke Heroes aliyejitambulisha kwa jina la Tonge Masta akamjibu Mudi ambapo amesem,

Aidha, mwakilishi wa Wagalatia ambaye alifanyiwa mahojiano katika kipindi cha Supa Mix leo, alijigamba kuwa wako vizuri kuelekea mchezo wao wa Jumapili, Septemba 8 dhidi ya KG Dallas, amesema,

Ratiba nzima ya michezo ya hatua ya 16 bora wikiendi hii ni kama inavyoonekana hapa chini.

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi