Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Mkisikia nimeachika msishangae'' - Billnas

Thursday , 5th Sep , 2019

Billnass amesema muda wowote kuanzia sasa anaweza kuachika na mpenzi wake mpya kutokana na kusambaa kwa picha na video zikionyesha akiwa amerudiana na Nandy katika mitandao ya kijamii.

Nandy na Billnas

Billnass amesema hayo kwenye mahojiano na EATV & EA Radio Digital baada ya kuulizwa kama inamuathiri vipi watu wanaposema amerudiana tena na Nandy.

"Inaniathiri pakubwa kwa sababu mahusiano yangu yapo kwenye changamoto kubwa sana au siku yoyote mkisikia nimeachika msishangae, sisi hatujiachii na hatuko karibu kama ambavyo watu wengine wanaona kwa sababu tangu nimeachia wimbo wa Bugana sijaonana tena na Nandy mpaka leo", ameeleza.

Billnass ameendelea kusema picha na video ambazo wanapost katika mitandao ya kijamii ni za muda walipiga wakati wapo 'Location' wana-shoot video ya Bugana na hataki watu waamini kama wana ukaribu huo.

Wawali hao wamekuwa wanazungumziwa sana na watu katika mitandao ya kijamii kutokana na ukaribu wao unaoonesha kama wamerudiana. Video ya wimbo wao inafanya vizuri tangu itoke ikiwa na siku 5 na imepata watazamaji 736,453.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi