Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Amber Lulu aeleza alivyomshushia kichapo Mwalimu

Sunday , 15th Sep , 2019

Msanii wa Muziki wa Bongofleva, Amber Lulu, amesema moja ya matukio ambayo anayakumbuka akiwa anasoma Shule ya Sekondari Itigi Mkoani Mbeya, alimshushia kichapo, mwalimu wake kwa kile alichokidai alikuwa anamuonewa.

Amber Lulu ametoa kauli hiyo katika kipindi cha Kikaangoni, kinachorushwa kwenye kurasa za Facebook na Youtube ya East Africa TV, kila Jumatano kuanzia saa 8 na nusu mchana.

"Kuna muda mambo yanakufika hapa, kuna Mwalimu tulizipiga kwa sababu alikuwa ananionea sana, alikuwa anatabia moja kila Ijumaa anaitumia meseji eti usipokuja Shule nakuchapa, kumbe yeye alikuwa ananipenda kimapenzi na mimi nilijua alikuwa ananitaka" amesema Amber Lulu

"Kuna siku Jumatatu nimeenda Shule, yeye akaanza kunitoa mbele kuwa sikwenad Jumamosi, na kipindi hicho ilikuwa hatutakiwi kuchapwa matakoni, basi nikampa mkono akanipiga kwenye makalio, nikagoma nikamrudishia na mimi baadaye nikampeleka hadi polisi." amesema Amber Lulu

Katika kipindi hicho Amber  Lulu amesema yeye wakati anamaliza kidato cha nne alipata ufaulu wa Division 2 ya 34 na kupelekea kuzua gumzo kubwa kwenye mitdao ya kijamii.

Fuatilia mahojiano kamili.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala