Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bonnah Kamoli asema atagombea Urais baada ya JPM

Wednesday , 18th Sep , 2019

Mbunge wa Segerea Bonnah Kamoli, amesema huenda akagombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2025, ambapo amedai anadhani yeye anafaa kurithi kiti cha Rais wa sasa Dkt. John Pombe Magufuli, ifikapo 2025.

Akizungumza katika kipindi cha Kikaangoni kinachorushwa kwenye ukurasa wa Facebook na Youtube ya East Africa TV, ambapo amesema kwenye uchaguzi huo huenda akafaa hivyo kama atapewa dhamana na chama chake.

"Sijafikiria kugombea Urais kwasasa ila ikifika 2025 huenda nikagombea maana nitakuwa na uzoefu tayari, nadhani nitafaa kumrithi Rais Magufuli" amesema Mbunge Bonnah Kamoli

Kuhusiana na suala kutoa rushwa ya ngono ili apate Ubunge, Mbunge Kamoli amesema hajawahi kutoa rushwa ya ngono, ili apate nafasi hiyo bali yeye ndiyo alikuwa Mbunge asiyekuwa na kipato katika orodha ya Wabunge.

"Sijawahi kutoa rushwa ya ngono katika harakati zangu za kisiasa, sijatumia pesa yoyote kuwa Mbunge, badala yake mimi ndiyo sikuwa na kitu chochote kati ya wagombea wote ndani ya CCM katika Jimbo la Segerea" amesema Mbunge Bonnah Kamoli

Fuatilia mahojiano kamili hapo chini.  

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala