Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msemaji wa mashindano aeleza maandalizi ya fainali

Tuesday , 1st Oct , 2019

Msemaji wa michuano ya Sprite Bball Kings 2019, Goza Chuma ameelezea maandalizi yanayoendelea kuelekea fainali ya michuano hiyo kati ya wababe Tamaduni na Mchenga Bball Stars.

Msemaji wa michuano ya Sprite Bball Kings 2019, Goza Chuma

Ikiwa ni siku tatu zimebaki kabla ya mchezo wa kwanza kupigwa katika Uwanja wa Don Bosco Oysterbay, Ijumaa hii ya Oktoba 4, Goza Chuma amesema kuwa maandalizi yote yamekamilika, huku akiahidi kuwa 'surprise' mbalimbali zitakuwepo.

"Mpira wa kikapu hauna sare, ni lazima mshindi apatikane na ukija Ijumaa hii katika Uwanja wa Don Bosco Oysterbay, mshindi lazima apatikane kati ya Tamaduni na Mchenga. Lakini kutakuwa na wageni rasmi wazito tena sio mmoja ambao wameamua kuunga mkono kuwaangalia vijana", amesema Goza.

Fainali inatarajia kuwa na jumla ya michezo mitano, ambapo mchezo wa kwanza utapigwa Ijumaa, Oktoba 4, mchezo wa pili Oktoba 6 na mchezo wa tatu ukitarajia kupigwa Oktoba 8.

Mtazame hapa chini akielezea zaidi.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi