Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jux na Wolper wanogesha tamasha la mavazi Tanzania

Thursday , 3rd Oct , 2019

Wikiendi iliyopita kulifanyika maonyesho ya pili ya mavazi "Tanzania Fashion Festival" ambayo hukutanisha watanamindo na wabunifu wa mavazi kuonyesha bidhaa zao, ambapo safari hii lilihudhuriwa na mastaa kama Jux na Jacqueline Wolper.

Juma Jux akiperforme kwenye tamasha hilo

Licha ya kufanyika tamasha hilo pia walikuwa wanasheherekea mavazi ya majira ya joto , kukutanisha wapenzi wa muziki wa Jazz, vyakula , vinywaji pamoja na mtoko wa kifamilia ambao hukutanisha watu mbalimbali.

Muandaji wa onyesho hilo la ambaye ni mtangazaji wa kipindi cha NIRVANA cha East Africa Television, Deogratius Kithama amesema, nia ya tamasha hilo ni kuleta pamoja wapenzi wa mitindo na wanaopenda 'lifestyle' kwa ujumla na kutoa wabunifu wa mavazi kutokea Tanzania.

"Tumekuwa na bahati sana kwa sababu mwaka huu tumeona mabadiliko na maendeleo makubwa katika tamasha hili ukianzia maandalizi, mahudhurio ya watu na  hali hii inaonyesha kiasi gani tasnia ya mitindo inakuwa kila siku" ameeleza.

Akizungumzia uwepo wa ushindani wa mavazi waliyoonyesha kati ya Juma Jux na Jacqueline Wolper kwenye tamasha hilo Deogratius Kithama amesema,

"Wote wana "style" mbili tofauti ila nilinivutiwa na Jux alivyobadilisha bidhaa zake ambapo ameleta usasa mpya kwa kuongeza vitu mbalimbali kwa dizaini tofauti. Aidha kwa upande wa Wolper  wote tunamfahamu ni Mama wa maigizo alienda hadi Dubai kufanya manunuzi ili kuleta "material" ya kuonyesha katika tamasha hili"  ameongeza.

Pia amemaliza kwa kusema wote walitumia nguvu , gharama , muda na ubunifu katika onyesho hilo la mavazi "Tanzania Fashion Festival", ili kuhakikisha linakuwa la tofauti na matamasha mengine kwani ndio ilikuwa shauku yao.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma