Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nabii Mashimo atoa ujumbe kwa Mbowe

Friday , 4th Oct , 2019

Mchungaji wa Taifa Nabii Mashimo, ametoa utabiri kwa majimbo yanayoongozwa na wabunge akiwemo Freeman Mbowe,Godbless Lema,Joseph Mbilinyi maarufu Sugu pamoja na Zitto Kabwe, kwamba watakosa ubunge kwenye Uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2020.

Akitoa maono hayo ya utabiri, ambayo anadai ameoteshwa na Mungu wake, Mashimo ameanza kumshukuru na kumtia moyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, John Pombe Magufuli kwa utendaji wake mzuri wa kazi uliotukuka na kuwatetea watanzania walio wanyonge.

Mungu amenionyesha majimbo ya Ubunge ambayo yatapotea mwaka 2020, Jimbo la kwanza ni Arusha Mjini, ambalo linaongozwa na Godbless Lema, Pili ni Mh. Joseph Mbilinyi mbunge wa Mbeya Mjini, Tatu ni mwenyekiti wa chama cha Chadema Mh. Freeman Mbowe ambaye anaongoza Jimbo la Hai , mwisho ni Zitto Kabwe mbunge wa Kigoma Mjini” amesema Mashimo.

Nabii Mashimo ameongeza kuwa kama wabunge hao watataka kushinda nafasi zao za uwakilishi wa wananchi katika Uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, amesema suluhisho pekee ni wao kutubu na kuokoka.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala