Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Sasa hivi wamekuwa Chawa" - Amber Lulu

Saturday , 5th Oct , 2019

Amber Lulu amieleza Friday Night Live ya EATV, kuwa wakati anaanza muziki watu wengi walikuwa wanamchukulia poa na kumdharau, ila hao hao ambao walikuwa wanamsema sasa hivi wamekuwa chawa na wanamuomba misaada.

Amber Lulu

Akizungumzia mafanikio yake kwenye muziki ambayo yamebadilisha maisha yake kwa asilimia kubwa, amesema sasa hivi anaringa na anapokea simu nyingi sana kutoka kwa watu hadi anachoka.

"Vitu vingi sana vimebadilika kutokana na muziki kama 'lifestyle', muonekano, kuvimba, na wanaonichukia, pesa na kila kitu. Wakati naanza game watu walikuwa wananichukulia poa sana walikuwa wananiona kama 'kidemu' flani hivi mizinguo tu" ameeleza

Amber Lulu ameendeleza kusema watu hao ambao waliokuwa wanamsema sasa hivi wamegeuka na kumkubali kwa kumuomba misaada na kutambua nini anafanya na wengineo wamekuwa mashabiki zake na chawa. ameeleza.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala