Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli ashangaa Waziri wake kudharauliwa

Sunday , 6th Oct , 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, ameonesha kushangazwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa George Kyando, kutotekeleza maagizo yaliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Kangi Lugola, ambaye aliagiza kuhamishwa kwa Maaskari 9, katika kituo cha Polisi

mkoani humo.

Rais Magufuli ameonesha hali hiyo akiwa kwenye ziara ya kikazi mkoani Rukwa, ambapo pia alikuwa akizindua mradi wa barabara kutoka Tunduma kuelekea Sumbawanga na kudai  kuwa mkoa huo unachangamoto ya masuala ya ulinzi.

"Mimi nadhani hapa Rukwa kuna tatizo kuhusu suala la ulinzi haiwezekani mtu anaachiwa hivihivi, halafu wewe RPC daah mambo mengine naomba tumwamchie Mungu." amesema Rais Magufuli.

Awali maongezi baina ya Rais Magufuli  na RPC Kyando yalikuwa hivi.

JPM : Polisi 9 walioamuliwa na Waziri kuhamishwa wameshahamishwa?
RPC - Maaskari 9 sijapata majina yao.
JPM : Alizungumza kwenye vyombo vya habari.
RPC - Niimuita OCD lakini hakuwapata.
JPM : Nimemteua anaagiza nyinyi hamtekelezi, hii ni dharau, ukatekeleze.

Tazama uzinduzi kamili hapo chin

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala