Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Je, rekodi ya Kipchoge inatambulika duniani?

Saturday , 12th Oct , 2019

Mwanariadha wa Kenya Eliud Kipchoge, amekuwa mtu wa kwanza katika historia ya mbio za Marathon duniani, kukimbia kilomita 42 kwa muda wa chini ya dakika mbili.

Eliud Kipchoge

Kipchoge ametumia saa 1 na dakika 59 na sekunde 40, kukamilisha rekodi hiyo katika mashindano ya 'Ineos Challenge' mjini Vienna nchini Austria yaliyofanyika leo Jumamosi, Oktoba 12, 2019.

Chakushangaza ni kwamba licha ya Kipchoge kuvunja rekodi hiyo, lakini haitaingia kwenye rekodi ya dunia ya shirikisho la Riadha (IAAF) kutokana na sheria, muundo na taratibu zilizoongoza mbio hizo.

Sababu kubwa nyingine ya kutotambulika kuwa rekodi mpya ya dunia ni kutokana na mashindano hayo kutohusisha watu wote, badala yake kulikuwa na makundi ya wanariadha ambao walikuwa wanamsindikiza kwa kuingia na kutoka kwenye mbio.

Hata hivyo sio mara ya kwanza kwa Bingwa huyo wa Olimpiki kutaka kuweka rekodi hiyo, ambapo mwaka 2017, alichelewa sekunde 25 pekee kuweka rekodi ambayo leo ameiweka.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala