Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wawekezaji warudisha vitalu, Serikali yaeleza

Sunday , 13th Oct , 2019

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu ametoa sababu zilizopelekea vitalu vingi vya uwindaji wa wanyamapori nchini kukosa wawekezaji na hata baadhi ya wawekezaji waliokuwa wanamiliki baadhi ya vitalu hivyo kulazimika kuvirudisha Serikalini.

Naibu Waziri Kanyasu amemsema sababu kubwa iliyopelekea tatizo hilo ni mifugo kuingizwa ndani ya hifadhi na kuwafanya wanyamapori wengi kuhama.

Kanyasu amesema Wanyamapori hulazimika kuhama maeneo yaliyovamiwa na ng'ombe kwa sababu hushindwa kuvumilia harufu inayotoka kwa ng'ombe, kufutia madawa ambayo hutumika kuoshea wanyama hao.

Amesema kufuatia hali hiyo vitalu vingi vimekuwa havina wanyamapori na badala yake, vimekuwa na ng'ombe hali inayosababisha wawakezaji wengi kulazimika kuvirudisha vitalu hivyo, kwa sababu hawajavichukua kutoka Serikalini kwa ajili ya kuwinda ng'ombe.

Akizungumza katika Pori la Akiba la Moyowosi-Kigosi na watumishi  wa kituo cha Ipole Kaskazini mwa pori hilo kwa upande wa Geita, Waziri Kanyasu amewataka watumishi hao kuimarisha ulinzi kwa kufanya doria madhubuti, ili kuzuia wafugaji wasiweze kuingiza ng'ombe katika pori hilo

Ameyataja Mapori ya Akiba yaliyoathirika na mifugo na kufanya wawekezaji kurudisha vitalu hivyo kwa wingi  kuwa ni Pori la Ugalla pamoja Moyowosi mkoani Kigosi.

Amesema kufikia mwezi Juni mwaka huu, jumla ya vitalu vipatavyo 60 kutoka mapori ya akiba mbalimbali vilikuwa vimerudishwa Serikalini kutoka kwa wawekezaji.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi