Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kisa cha Askari na Waandishi,kifo cha Nyerere

Monday , 14th Oct , 2019

Wakati Watanzania wakiungana kwa pamoja kuazimisha miaka 20 tangu kitokee kifo cha Baba wa Taifa wa Mwalimu Julius Nyerere, moja ya matukio ambayo yanakumbukwa zaidi ni tukio la kupigwa mtama kwa aliyekuwa Msaidizi wa wa RPC wa Mkoa wa Dar es salaam, Alfred Gewe,

ambaye alifahamika kwa ajila la James Kombe.

James Kombe alipigwa mtama na baadhi ya wapiga picha ambao walijitokeza kwenye kushiriki kuupokea mwili wa Hayati Baba wa Taifa, ambapo walikuwa wanapiga picha kwa ajili ya kuzichapisha kwenye vyombo vyao vya habari lakini yeye akawa anawazonga,

Akisimulia kisa hichoa aliyekuwa mpiga picha wa Gazeti la Majira, wakati akihojia na Mtangazaji wa East Africa Radio, Charles William amesema, "Wakati wakupokea mwili wa Baba wa Taifa kulikuwa na Msaidizi wa RPC Dar es salaam Alfred Gewe, aliyejulikana kwa jina la James Kombe, alipigwa mtama na wapiga picha, alikuwa akiwazonga, wasipige picha na kushuhudia mapokezi ya kipenzi cha Watanzania, Nyerere alikuwa kipenzi cha kila mtu."

Mwalimu Julius Nyerere, alikuwa ni miongoni mwa waasisi wa Bara la Afrika ambao waliratibu kupatikana kwa uhuru kwa nchi nyingi zilizopo kusini mwa bara la Afrika kwa kushirikiana na wenzake wakina Nelson Mandela.

Pia Leo Oktoba 14, 2019 ni mwisho wa kujiandikisha kwa wananchi kwenye daftari la mpiga kura, kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa