Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanakijiji wahoji JKT kuandikishwa kwenye daftari

Tuesday , 15th Oct , 2019

Hali ya sintofahamu na majibizano ya maneno imeibuka mkoani Kigoma, baina ya Maafisa wa Serikali na wananchi wa Kijiji cha Kaseke kilichopo wilayani Kigoma mkoani humo, juu ya uhalali wa kuandikishwa kwa vijana wa mafunzo ya JKT kwenye daftari la kupiga kura.

Kwa mujibu wa wanakijiji hao wamedai kupinga kuruhusiwa kwa vijana wa mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT kikosi cha 821 KJ Bulombora, kujiandikisha katika daftari la wapiga kura katika kijiji chao kwa kile walichokieleza ni tofauti na miaka iliyopita.

Hali hiyo imetokea wakati Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma, Rashid Mchata, pamoja na Maafisa wengine wa Serikali walipokuwa katika ziara ya kuangalia namna zoezi la uandikishaji linavyoendelea, ambapo wananchi wamehoji kuwa hawajawahi kuona wazalendo hao wakipiga kura Serikali za Mitaa.

Wananchi hao wameeleza kuwa vijana wa JKT mara kwa mara, wamekuwa wakishiriki kwenye chaguzi za Serikali Kuu tu, na huwa hawaruhusiwi kupiga kampeni jeshini.

Zoezi la uandikishaji wa wananchi kwenye daftari la wapiga kura kueleka uchaguzi wa Serikali za Mitaa linatarajiwa kufungwa Oktoba 17, 2019, baada ya kuongezwa siku 3 na Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa