Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Barcelona wapendekeza tarehe mpya ya El Clasco

Friday , 18th Oct , 2019

Baada ya Shirikisho la soka Hispania (RFEF), kuvitaka vilabu vya Barcelona na Real Madrid vipendekeze tarehe mpya ya ElClasco, Barcelona ambao ndio wanatakiwa kuwa wenyeji wa mchezo huo wamependekeza uchezwe Desemba 18, 2019 Camp Nou.

Uwanja wa Camp Nou

Taarifa iliyotolewa na Barcelona muda mfupi baada ya maamuzi ya Bodi ya La Liga (LFP) kuhusu mabadiliko ya kusogeza mbele mchezo huo kutoka Oktoba 26, kama ilivyokuwa imepangwa awali.

'Sisi hatukutaka mchezo huo upelekwa Santiago Bernabeu kama ambavyo LFP na RFEF walipendekeza, hivyo umerudishwa Camp Nou na tunapendekeza Desemba 18, 2019', imeeleza taarifa ya Barcelona.

Katika upande mwingine Barcelona wameweka wazi kuwa wao walikuwa na imani na mashabiki wao hata kama mchezo ungebaki Oktoba 26, ungechezwa kwa amani na hawana tabia ya fujo zaidi tu ya kufurahia.

Pia wameeleza kuwa kwasasa wanafanya taratibu za mwisho kuhakikisha wanaanza kurejeshga fedha za mashabiki ambao tayari walikuwa wameshakata tiketi kuhudhuria mchezo huo wa La Liga.

Hivi karibuni viongozi 9 wa siasa wa Catalunya wamehukumiwa jela miaka 9 mpaka 13 kwa kukutwa na hatia ya uchochezi waliofanya mwaka 2017 katika azimio la kudai uhuru wa jimbo la Catalunya.

Baada ya hukumu hiyo, wananchi wa jimbo hilo wamekuwa wakifanya maandamano kupinga hukumu hizo.

Maandamano mengine yamepangwa kufanyika siku hiyo ya Oktoba 26, na hivyo kupelekea shirikisho la soka la Hispania (RFEF) leo kutangaza kuahirisha mechi hiyo ya El Clasico.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi