Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mlela aanika pesa anayotumia kwa Ebitoke

Tuesday , 22nd Oct , 2019

Muigizaji mkubwa wa Bongo Movie, Yusuph Mlela ameweka wazi kiasi cha pesa anachotumia kwa mpenzi wake wa sasa, Ebitoke pamoja na stori za kuishiwa pesa kuwa ndiyo sababu iliyomfanya kuwa na mwanadada huyo.

Yusuph Mlela na mpenzi wake Ebitoke

Mlela amesema hayo kupitia Enewz ya EATV, ambapo kuhusiana na kiasi cha pesa anachotumia kwa Ebitoke, amesema kuwa huwa hana kiwango maalumu lakini mara nyingi huanzia Shilingi laki 1 au 2.

"Kwa kawaida natumia gharama ya laki 1 au laki 2 ni kawaida tu kulingana na kitu tunachokitaka na inaweza kufika hadi milioni kwa sababu mambo yamebadilika sasahivi anafanya mambo makubwa", amesema.

Kuhusu stori za kuchunwa na wanawake wenye gharama kuwa ndiyo sababu iliyompelekea kumfuata Ebitoke, Mlela amesema, "mimi nimefanya sanaa kwa miaka 14 sasa, nimewekeza vya kutosha. Nimefanya 'project' za kimataifa kama Kenya na hapa nchini kwahiyo mimi siyo marioo"

Mtazame hapa chini akifunguka mengi zaidi.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala