Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RC atengua kauli ya DC,adai mtu hapangiwi kuabudu

Tuesday , 22nd Oct , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, ametengua kauli ya Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema, iliyokuwa inazuia watu kuabudu katikati ya juma kwa madai ya kuwa hawezi kuwapangia watu masaa na siku za kumuabudu Mungu wao wanayemuamini.

 

Kauli ya kutengua agizo hilo ameitoa leo Oktoba 22, 2019, alipokuwa akizungumza na Waandishi wa habari ofisini kwake na kuwataka viongozi mkoani humo kuwa na kiasi hasa linapokuja suala la imani za watu na kwamba yeye anazihitaji ibada hizo katika mkoa wake.

''Upande wa imani Serikali haina dini, Natengua kauli ya Mkuu wa Wilaya ya Ilala, watu wendelee kwa imani zao bila kuathiri sheria za nchi, viongozi tunapaswa kuwa makini tunapoingia kwenyeatika mambo ya dini, mambo ya dini ni mambo imani, mimi mwenyewe hapa ni mlokole hunipangii muda wa kusali'' amesema Makonda.

Aidha Makonda amewataka Wakuu wa Wilaya wote mkoani kwake, kuhakikisha wanakutana na viongozi waliochini yao ili kujadili njia na namna yakuleta ufumbuzi katika masuala ambayo hayako sawa, badala ya kutoa maagizo ambayo yataathiri imani za watu, kwani suala la ibada linahitaji moyo na utayari wa mtu binafsi.

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja