Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TAKUKURU yamnasa Askari wa JWTZ

Tuesday , 22nd Oct , 2019

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), mkoani Kagera, inawashikilia watumishi wanne, akiwamo askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ),kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa.

Watu wengine wanaoshikiliwa na Taasisi hiyo ni Askari Polisi na Afisa wa
Idara ya Misitu, wote kutoka wilayani Biharamulo.

Akizungumza na waandishi wa habari Mkuu wa TAKUKURU mkoani Kagera, John
Joseph, amesema askari huyo wa Jeshi la wananchi alipokea Shilingi 800,000 kati
ya shilingi milioni 3, alizoomba kutoka kwa mfugaji mmoja, aliyekamata
ng’ombe wake akimtuhumu kuwaingiza katika pori la hifadhi ya Biharamulo.

Aidha Mkuu huyo wa TAKUKURU, amesema kuwa wanamshikilia afisa afya wa Kijiji
cha Nyakanazi, kilichopo katika Wilaya ya Biharamulo, Audastus Norbert kwa
tuhuma za kupokea rushwa ya shilingi elfu 50, ikiwa ni sehemu ya kiasi cha
shilingi laki 2, alichoomba kutoka kwa muuza nyama, baada ya kubaini makosa
katika duka lake.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma