Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Ukiangalia dini utakosea mambo mengi' - Nedy

Monday , 28th Oct , 2019

EATV & EA Radio imepiga stori na staa wa BongoFleva Nedy Music, ambapo amefunguka kuhusu 'Lifestyle' yake kwenye upande wa mavazi, muonekano binafsi na wasanii kupenda kuvaa hereni masikioni.

Akizungumzia issue ya kuvaa hereni au vipuli  kwa wasanii hali ya kuwa yeye ni muislam Nedy Music amesema, sasa hivi ukiangalia dini utakosea vitu vingi vilivyopo duniani.

"Mimi kila kitu nachohisi kinafaa kwangu naweza kukivaa au kukiweka, kwa sababu ukiangalia dini sasa hivi utakuwa unakosea kwa vitu vingi vilivyopo duniani, kwahiyo yote kwa yote ni kuweka sawa tu kama leo navaa cheni kesho sitavaa, ila kawaida kwa msanii au mtu  yeyote anayetaka kupendeza" ameeleza Nedy Music.

Pia Nedy Music amezungumzia suala la kuhusishwa kuchukua nafasi ya  Juma Jux na G-nako Warawara, kwenye upande wa kuvaa kwa sababu wawili  hao wanaaminika kama ndiyo wasanii wanaongoza kwa kuvaa Bongo.

"Mimi sivai kwa ajiili ya kuchukua nafasi ya mtu yeyote yule, bali navaa Nedy kama Nedy nikiamini kwamba, nataka kuvaa vile nakuonekana vizuri kwa watu ambao wanani-support na wanaoniangalia pia".

 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ