Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Adai wanaume wanawakimbia wanawake wenye gharama

Tuesday , 5th Nov , 2019

Mwanamitindo wa mavazi na urembo hapa nchini, Maza Sinare maarufu kwa jina la Maznat, ameeleza kuwa idadi kubwa ya wanaume siku hizi, wanawakimbia wanawake ambao wanatumia gharama kubwa kwenye kujiremba na kuwaasa wanawake kubaki na urembo wao wa asili.

Maznat ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha MAMAMIA, cha East Africa Radio, kinachoruka kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa, kuanzia saa 4 kamili hadi saa 6 kamili mchana.

"Kuna mtu ananunua wigi la laki 9, kuna wanaume wanaamua kukimbia kwa sababu ya hizo gharama, kila kitu nawasihi tufanye kwa kiasi, kwa sababu unaweza ukawa na muonekano wa asili na ukawa mzuri sana tu."amesema Maznat.

Aidha Maznat ameongeza kuwa, "Wanaume anajifanya wanapenda wanawake wanaovaa urembo sijui makalio makubwa lakini kamuangalir mtu  anayekwenda kumuoa wengi wao wako uzuri wao wa asili".

Maznat amewataka wanawake kujiamini na kujikubali wenyewe, kutokana na maumbile yao na kwamba wakijikubali wataweza kupata wanaume wenye vigezo sawa na vyao.

HABARI ZAIDI

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu