Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mkiguswa bampa za Ist mnaongeza foleni" - Makonda

Tuesday , 5th Nov , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaan, Paul Makonda, amesema kuwa angekuwa na uwezo wa kutunga sheria angeweka utaratibu ambao hautamtoza faini yoyote dereva wa gari atakayekwangua bampa la gari ya mtu mwingine.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda

Hayo ameyabainisha leo Novemba, 5, 2019, alipotembelea watoto wanaopatiwa matibabu ya moyo katika Taasisi ya Moyo, Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) na kuwaomba watanzania kuendelea kujitokeza kwa wingi ili kuokoa uhai wa watoto wenye uhitaji.

"Mimi ningekuwa na uwezo wa kutunga sheria, binafsi ningesema mtu akikukwangua bampa achana naye tu wewe shuka kwenye gari angalia bampa yako, mwambie pole kwasababu wala hukukusudia.", amesema Makonda.

"Kuna watu mkiguswa tu bampa ya Vits au Ist mnabaki mpaka msongamano wa magari unakuwa mkubwa, ukiguswa kidogo kama gari yako haijaharibika msamehe tu mwenzio.", ameongeza Makonda.

Aidha Makonda amesema kuwa anataka kuufanya mwezi Disemba kuwa ni wa shukrani kwa kuwainua watoto wenye matatizo ya moyo wanaopitia maumivu makali huku wakiwa hawana tumaini lolote la kupona na kuwapeleka katika viwango vingine.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi