Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Katavi : Mbaroni sababu ya vyeti feki

Thursday , 7th Nov , 2019

Mtumishi wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, Deodatus Jabir (46), anatarajiwa kupandishwa kizimbani kwa makosa ya kughushi cheti cha Udereva kutoka chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), pamoja na kutoa nyaraka za uongo ili kujipatia ajira.

Akitoa taarifa hiyo Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), mkoani Katavi, Christopher Nakua, amesema Deodatus alitenda kosa hilo mwaka 2009, kwa kuwasilisha cheti hicho kwa mwajiri wake, ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa na kufanikiwa kujipatia ajira huku akijua hajasoma elimu yeyote.

"Kosa lililofanywa na mtumishi huyo wa Halmashauri ni kujipatia ajira kwa kutumia nyaraka za kughushi ni kinyume na vifungu vya 333, 335,337,na 342 vya sheria ya kanuni na adhabu sura ya 16 (toleo la 2002)" amesema Nakua.

Aidha TAKUKURU inatoa wito kwa watumishi wa umma na jamii kwa ujumla, kutojihusisha na vitendo vya kijinai kama kuwasilisha nyaraka za uongo ili kujipatia ajira au kwa manufaa yoyote ambayo ni kinyume na sheria.

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma