Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lema awatetea wahudumu wa ATCL

Friday , 8th Nov , 2019

Mbunge wa Arusha Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema, amelaani kauli iliyotolewa na Mbunge wa Kigoma Kusini, Hasna Mwilima, iliyokuwa ikiwakashfu wahudumu wa Ndege za ATCL kuwa hawana mvuto kwa kuwa kauli hiyo ni ya kejeli na ina mlengo wa

Mbunge wa Arusha Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema, amelaani kauli iliyotolewa na Mbunge wa Kigoma Kusini, Hasna Mwilima, iliyokuwa ikiwakashfu wahudumu wa Ndege za ATCL kuwa hawana mvuto kwa kuwa kauli hiyo ni ya kejeli na ina mlengo wa kuwadhalilisha wanawake wote.

Mbunge Lema ameyasema hayo leo Novemba 8, 2019, kupitia ukurasa wake wa Twitter, ambapo ameonesha kukerwa na kauli ya Mbunge mwenzake, aliyoitoea jana Novemba 7, 2019, bungeni Dodoma.

"Kauli ya Mbunge CCM kuwa wafanyakazi wa ndege ATCL (air hostess)hawana mvuto,ni kauli chafu yenye matusi na kejeli kwa wanawake wote,mvuto unatazamwa kwa mambo mengi ikiwa zaidi nidhamu,lugha nzuri,upendo na utaalamu katika huduma, kwani Beauty is in the eye of the beholder" ameandika Lema.

Kwa mujibu wa kauli yake aliyoitoa Mbunge Mwilima, alihoji kuwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), hutumia vigezo gani kuwaajiri wahudumu wa ndege hizo.

"Nataka nitanie kidogo, hizi ndege zetu ni nzuri, zinafanya kazi nzuri lakini mle ndani tunapoajiri wale wahudumu, hebu tuangalie wahudumu ambao hata wakiitwa mle kwenye ndege akigeuka hivi hata abiria anaona kweli tunawahudumu, sijui mnatumia vigezo gani, unakuta mhudumu mfupi, hana mvuto wa kuifanya ndege yetu ionekane" alihoji Mbunge Mwilima.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ