Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alikiba azindua Unfogettable Tour, kuja na mambo 3

Friday , 8th Nov , 2019

Msanii nguli wa Bongo Fleva, Alikiba amezindua rasmi tour yake ya 'Unfogettable' ambayo ameifanya kuwa maalumu kama zawadi ya miaka yake 17 katika muziki nchini.

Alikiba

Alikiba amesema hayo katika mkutano wake na wanahabari, uliofanyika katika hoteli ya Ramada Encore Posta Mpya, ambapo amethibitisha kuwa tamasha hilo litakuwa na mambo mengine mengi tofauti na muziki pekee.

"Kwa jinsi ambavyo mashabiki wangu wamenionesha upendo kwa miaka 17, nimeamua kuwaletea #AlikibaUnforgettableTour ambayo itakuwa na mambo mengi sana haiishii tu kuwa Concert au Tour", amesema Alikiba.
 
"#AlikibaUnforgettableTour itakuwa na mambo makubwa matatu. 1. Ujenzi wa #Ndotokazi kwa vijana, ambapo mimi na wenzangu watakaonishika mkono tutapita mikoani kuzungumza na wanafunzi wa vyuo. Jambo namba 2 kwenye #AlikibaUnforgettableTour ni #MedicalCamp, hapa namshukuru Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu na jopo la madaktari, ambao watatoa mchango wa dawa kwa lengo la kutoa huduma ya afya kwa watu mbalimbali bure kabisa.", ameongeza. 

Aidha Alikiba amezungumzia jambo la tatu kuwa ni #FriendlyRegionalMatch ambapo yeye na watu wake watacheza katika kila eneo ambalo watakwenda, kwakuwa anapenda sana mpira na lengo lake kubwa ni kufanikisha hilo.

Alikiba amezishukuru East Africa TV na East Africa Radio kwa kuwa 'media partner' ambayo itazunguka katika kila mkoa atakaokwenda, "nitashirikiana na East Africa Television na East Africa Radio na nawashukuru sana", ameongeza Alikiba.  

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala