Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Lema anafanya siasa kihalifu' - Ole Sabaya

Thursday , 14th Nov , 2019

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, ameeleza sababu iliyofanya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, kukamatwa na Polisi wilayani humo kwa kuwa alikuwa anafanya siasa za kihalifu na zenye mlengo wa kuleta taharuki kwa wananchi.

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Akizungumza na EATV&EA Radio Digital, leo Novemba 14, 2019, Sabaya amesema kuwa Lema alifika wilayani hapo na kufanya kikao cha siri na viongozi wenzake wa CHADEMA chenye lengo la kuwashawishi wananchi kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, kinyume cha taratibu ilihali yeye si Mbunge wa eneo hilo.

"Tunataka kumuonesha, kiufupi hapa Hai sio salama kabisa kwa watu wahalifu kufanya siasa, kwakuwa hali hiyo ilikuwa inataka kuleta taharuki kwa wananchi, tutaangalia sheria inasemaje na hatua zingine zitafuata,wananchi wa Hai hawamjui Lema ni nani, yeye amekutana na viongozi wenzake kufanya hivyo na ndio maana hata Polisi walipofika hapo hakujisalimisha aliruka ukuta na kukimbia, hadi alipokuja kukamatwa baadae tena, yeye aende kwa wananchi wake wa Arusha  akaongee nao juu ya kuwapunguzia ukali wa maisha" amesema DC Sabaya.

Kwa mujibu wa DC Sabaya, Lema pamoja na Mwenyekiti wilayani humo Helga Mchomvu,  wamekamatwa leo Novemba 14, kwa makosa ya kufanya mkutano usio halali.
 

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi