Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Spika Mstaafu amuunga mkono Mkapa kwenye hili

Monday , 18th Nov , 2019

Spika Mstaafu wa Bunge la Tanzania, Pius Msekwa, amesema anaunga mkono kauli ya Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kupitia kitabu chake cha 'My Life My Purpose', kuwa baadhi ya wagombea wa upinzani kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1995, walikuwa na hoja dhaifu na kupelekea Rais Mstaafu Mkapa kupata

Benjamin Mkapa

ushindi kwenye Uchaguzi huo.

Pius Msekwa ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na EATV na EA Radio Digital, iliyotaka kufahamu kuhusiana na maoni yake juu ya Kitabu kilichozinduliwa na Rais Mstaafu Mkapa, ambapo miongoni mwa mambo aliyoyaeleza kwenye kitabu hicho kuhusiana na Uchaguzi Mkuu wa 1995 ni kuwa wapinzani wake walikuwa dhaifu kwa hoja.

Pius Msekwa amesema kuwa "Kiukweli hata mimi ninachokikumbuka ndiyo kile ambacho amekisema Mkapa, ila yeye amepata muda zaidi wa kuangalia mambo aliyokutana nayo, niwasihi tu vijana kasomeni yale ya kwenye Kitabu na muyazingatie kabisa."

Novemba 12, 2019 ikiwa siku yake ya kuzaliwa Rais Mstaafu Mkapa, alizindua kitabu chake alichokiita kwa jina la 'My Life, My Purpose', ambapo viongozi mbalimbali wa Kitaifa walishiriki, akiwemo Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete pampja Ali Hassan Mwinyi.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi