Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Anachojivunia Young Dee baada ya kurudi Marekani

Monday , 18th Nov , 2019

Rapa Young Dee amesema hajaenda Marekani kwa ajili ya kula bata na kuiga swaga na "Lifestyle"  ya kule, bali kilichompeleka kule ni kwenda kuwatangazia watu  kuhusu sifa zilizopo Tanzania ambapo mataifa mengine hawana.

Rapa Young Dee

Kupitia EATV & EA Radio Digital Young Dee amesema anajivunia kuwa mtanzania na kupeleka sifa za Tanzania duniani na kuwaambia kama taifa letu lina amani na halijawahi kumwaga damu.

"Hakuna cha ku-copy Marekani labda nilichokipeleka kutoka Tanzania, Mimi ni m'bongo ambaye nimetokea Dar Es Salaam na kila kitu ambacho tunacho ni baraka, ambazo sehemu zingine za duniani hawana, nilikuwa na kila sababu ya kujivunia kwamba nimetoka sehemu yenye vitu vyote hivi vizuri na kuvipeleka duniani" ameeleza Young Dee.

"Ni vingi sana kama kuwaambia watu kwamba hatujawahi kumwaga damu, kupata uhuru, watu walivyokuwa wakarimu, jinsi ambavyo tuna upendo, naweza kusema nina kila sababu ya kujivunia ya kuwa mtanzania niliyepata nafasi ya kwenda taifa jingine la watu ambao hawako kama sisi" ameongeza.

Ikumbukwe tu rapa Young Dee alikaa nchini Marekani kwa muda wa miezi 6 na sasa amerudi Tanzania na amechia wimbo mpya wa uitwao Jaji mento ambao amewashirikisha Mr Blue na Jay Moe.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma