Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tunda amlipua tena EX wake

Wednesday , 20th Nov , 2019

Mrembo na Video Vixen Cappuccino Tunda, ameweka wazi ujumbe ambao huwa anatumiwa na aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Casto Dickson, kupitia mtandao wa WhatsApp.

Tunda

Tunda ameweka ujumbe huo kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram, na ameonekana kukasirishwa na alichokifanya mpenzi wake huyo wa zamani, baada ya kumuongelea kwenye moja ya mahojiano yake. 

Tunda ameandika kuwa "Mimi sio muongeaji na huwa siwezi uswahili kabisa lakini ukiona mpaka nachafua page yangu nakuweka ujue kuna vitu umeshindwa kujiheshimu, huyu kaka sijawahi kuwa na tatizo naye lakini kila kutwa naletewa maneno anayoyaongea kuhusu mimi, wakati kwenye simu yangu halali siku ipite hajanipigia na kuniandikia mesaage" ameandika. 

"Kutwa kupigia watu wangu wa karibu waongee na mimi una hali mbaya, unataka kufa, halafu ukiwa huko unaniongelea ujinga, mtu niliekutengeneza mwenyewe ujulikane leo hii nikuongelee kujibust, unaakili wewe. nakubust navyoongea hivi sema sijali ndiyo nishakuambia sitaki simu zako, sitaki message, tulia kwenye mahusiano yako sahau kuhusu mimi" ameongeza.

Tunda na mpenzi wake huyo wa zamani walikuwa na mahusiano kipindi cha nyuma kabla ya kuachana. Kwa sasa Tunda yupo katika mahusiano na msanii Whozu.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi