Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mzee wa miaka 71 aweka rekodi ya kufunga ndoa

Friday , 22nd Nov , 2019

Ron Sheppard (71) kutokea nchini Uingereza, ni maarufu kwa jina la muingereza ambaye mpaka sasa ameshaoa mara nane na wake zake wote ameachana nao na sasa anajipanga kuoa kwa mara ya tisa.

Kutokea upande wa kulia ni Babu Ron Sheppard akiwa na mke wake wa nane.

Ndoa hiyo ya tisa anatarajia kuifunga Februari 2020, na mwanamke anayejulikana kwa jina la Rose Hans, mwenye miaka 30, ambaye amemaliza kozi ya udaktari nchini Ghana, na anajipanga kuhamia nchini Uingereza.

Kupitia mtandao wa The Sun Online, Babu huyo amesema "Najua Rose ni mmoja wao haijalishi kama tumekutana wapi ila nachoweza kusema tuna muunganiko mzuri, umri ni namba tu sijali kama ni nusu ya miaka yangu au zaidi ana mapenzi na mimi na nampenda yeye" .

Historia yake inasema kwa sasa ni Baba wa watoto nane na ndoa yake ya kwanza alifunga akiwa na miaka 19, ilikuwa 1966, ambayo ilidumu kwa miaka miwili na kupata watoto watatu, ndoa ya pili alifunga 1973-1974, ndoa ya tatu ilikuwa 1976 na ilidumu kwa miaka mitano, ndoa ya nne ilifanyika mwaka 1982-1986.

Ndoa ya tano 1986-1997 na alipata watoto wawili wa kiume ya sita ilikuwa 1999 na alichana baada ya kumsaliti mkewe 2003, ndoa ya saba ilidumu kwa miezi 8 tu, ndoa ya nane alifunga mwaka 2004 na ilidumu kwa miaka 11 hadi kufikia 2015.

Source by The Sun Online.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa