Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Majibu ya Dimpoz kwa TID, kwamba hajui kuimba

Sunday , 24th Nov , 2019

Msanii Ommy Dimpoz amesema hana uhakika na kile alichokipost msanii TID, baada ya kumuorodhesha katika oroddha ya wasanii watano wabovu wa Bongo Fleva ambapo TID  alimuweka Ommy Dimpoz nafasi ya pili.

Msanii wa BongoFleva Ommy Dimpoz

Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital Ommy Dimpoz amesema hana uhakika kama ni TID kama ndiyo alipost kweli  katika mtandao wa kijamii wa Twitter, 

"Kwanza mimi sipo Twitter kwa sababu akaunti yangu watu waliidukua taKribani mwaka sasa ila naishughulikia kuirudisha, Pili nilitumiwa tu hiyo "list" lakini mwisho wa siku sina uhakika kama ni TID mwenyewe, hata kama yeye ni kaka yetu kila mtu ana maoni yake na mtazamo wake" amesema 

"Mwisho wa siku tupo katika nchi ya huru kila mtu anaweza kujisikia kwa kile anachokifanya, nilichukulia kawaida tu ila kwangu mimi ukiniuliza kuhusu TID nitakwambia ni mmoja wa wasanii bora waliowahi kutokea kwenye BongoFleva" ameongeza 

Aidha Ommy Dimpoz amewajibu waliombeza kwamba hajastahili kuchukua tuzo za AFRIMMA kama msanii bora wa kiume Afrika Mashariki kwa kusema, "Mimi niliwekwa katika category, nikaomba kura kwa sababu walioniweka waliona nastahili kwahiyo hizo zote nichangamoto tu kwangu hakuna jipya" 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi