Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

AliKiba ataja siri kubwa kuhusu sauti yake

Friday , 29th Nov , 2019

Msanii wa Muziki wa BongoFleva nchini, Ali Kiba, amesema kuwa nidhamu aliyonayo ndiyo sababu kubwa inayomfanya hadi sasa, kuendelea kuimba nyimbo nzuri zenye kukonga nyoyo kwa mashabiki zake.

Msanii wa Muziki wa BongoFleva nchini, Ali Kiba.

Ali Kiba ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na Wanafunzi wa Chuo cha Uhazili kilichopo mkoani Tabora, hafla ambayo iliyohudhuriwa na Mkuu wa Mkoa huo, Aggrey Mwanri.

"Maisha ya shuleni ni tofauti na mtaani, Shule unafundishwa, mtaani ni kutenda, mtaani muhimu ni nidhamu ili ufanikiwe unachotaka, hata mimi nimefanikiwa sababu ya nidhamu, nidhamu ndiyo imesababisha sauti yangu iimbe vizuri mpaka leo"amesema Ali Kiba.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa huo Aggrey Mwanri amesema "Niwaambie nyinyi wasomi Ali Kiba ni hazina kubwa ya Taifa, nyinyi mnabahati sana kuwa na mtu kama yeye sasa hivi"

Ali Kiba kwa sasa yuko mkoani Tabora, ambapo kesho Novemba 30, 2019, anatarajia kufanya Tamasha maalumu ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya #AliKibaUnforgettableTour.

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi