Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwakinyo alivyoguswa na ajali ya mashabiki zake

Saturday , 30th Nov , 2019

Baada ya kuibuka mshindi dhidi ya mpinzani wake raia wa Mfilipino aitwaye Arnel Tinampay, Bondia Hassan Mwakinyo ameeleza kuguswa na tukio la ajali iliyowakumba mashabiki waliokwenda kumshangilia ambayo ilitokea eneo la Bunju jijini Dar es salaam.

Bondia Hassan Mwakinyo.

Katika ajali hiyo watu wawili wanatajwa kufariki Dunia huku taarifa za awali zikieleza majeruhi waliokuwa kwenye basi hilo walipelekwa kwenye Hospitali ya Bagamoyo.

Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram, bondia Hassan Mwakinyo ameandika kuwa,"kwanza nimshukuru mwenyezi mungu kwa kumaliza pambano langu salama,kwa dhati ya kipekee kabisa, naishukuru Serikali ya Tanzania kwa kuwa bega kwa bega na mimi pamoja na Watanzania wote kwa ujumla wenu nawapenda sana pamoja na vyombo vya habari vyote"

"Pili nimeshtushwa na ajali iliyotokea jana usiku kwa mashabiki na ndugu zangu wa Tanga, walipokuwa wanatoka kwenye pambano langu, huzuni kubwa kwangu na Tanga kwa ujumla, nipo pamoja na familia na wana Tanga wote kipindi hiki cha huzuni, Allah awape kauli thabiti, na awape pepo ya firdaous innallilah wainnailaihi rajoun" ameongeza

Aidha katika pambano la jana ambalo alishinda kwa pointi  (97-93, 98-92, 96-96) lilihudhuriwa na baadhi ya wasanii mastaa  kama Ommy Dimpoz na Mwana Fa.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi