Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakazi awataka wanasiasa kuacha shobo

Monday , 2nd Dec , 2019

Msanii anayefanya muziki wa HipHop Bongo, Wakazi, amewataka wanasiasa nchini Tanzania, kuacha shobo na sio kila jambo lazima walihusishe na masuala yao ya kisiasa.

Pichani ni msanii wa HipHop Wakazi

Kupitia 'post' aliyoiweka katika mtandao wa Instagram, baada ya kumalizika kwa pambano la Mtanzania Hassan Mwakinyo, dhidi ya raia wa Uphilipino Arnel Tinampay.

"Mambo ya kuweka siasa kwenye michezo, tutakuwa hatuendelei wala kupiga hatua na  mnatukata stimu wengine, acheni shobo" ameandika Wakazi.

Akizungumza na EATV & EA Radio Digital, Wakazi amesema suala la siasa lisihusishwe na masuala mengine.

"Suala la siasa na shobo nimesema kila wakati wanasiasa huwa wanajihusisha au kuhusika  na mambo hata yasiyokuwa ya siasa na kupenyeza usiasa humo, jambo ambalo linaweza kugawa mashabiki" amesema Wakazi.

Aidha ameendelea kusema  "kwa sababu sio kila mtu anapenda hayo mambo na tukileta siasa kwenye jambo tofauti tutafanya vitu vingine visiendelee, wanasiasa wapunguze shobo sio kila kitu kujipendekeza kwa viongozi wakubwa". 

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala