Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mke awataka wanaume zake wanne kulea mtoto

Friday , 6th Dec , 2019

Tory Ojeda mwenye umri miaka 20, ni mwanamke ambaye anaishi jijini Florida, nchini Marekani, ameweka wazi kuwa yupo katika mahusiano, yanayohusisha kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja 'Polyamorous'.

Tory akiwa na wanaume zake wote wanne.

Mwanamke huyo ambaye kwa sasa ana ujauzito wa miezi 7, anaonekana kufurahia kuwa na jumla ya wanaume wanne, ambao ni Marc 18, Travis 23, Ethan na Christopher wenye miaka 22.

Tory                                                              akicheza karata na waume zake.

Kupitia chanzo cha habari cha Daily Maily, inadaiwa mwanamke huyo anaishi na wanaume zake wote kwenye nyumba moja, wanafanya shughuli za kijamii pamoja na hata wakitaka kupanga mitoko yao hutoka pamoja.

"Christopher ndiyo Baba halisi wa huyu Mtoto, mara ya mwisho tulivyotoka kimapenzi mapumziko nilikuwa naye, ila yote kwa yote tutamlea pamoja na kila mtu atakuwa Baba" amesema Tory Ojeda.

Aidha Tory ameongeza kuwa "Wote tumefurahia sana na tuna shauku juu ya kumlea mtoto wetu pamoja, sasa hivi tutakuwa watano kwenye nyumba na tunatakiwa kupata mtoto zaidi ya mmoja, tutamlea kama familia moja" ameongeza.

                                                Tory akiwa na Baba halisi wa mwanaye.

Tory Ojeda na wanaume zake wote wanne, wanatarajia kupata Mtoto wa Kike miezi miwili ijayo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala