Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali kuja na mbadala wa Chips kwa wanafunzi

Friday , 6th Dec , 2019

Serikali mkoani Kagera imeshauriwa kuweka utaratibu, utakaowezesha wanafunzi wote wa Shule za Msingi na Sekondari kupata uji au chakula shuleni, ili kupunguza tatizo la mimba linalotokana na baadhi yao kudanganywa kwa chipsi.

Chips

Wakizungumza wakati wa kikao cha wadau wa elimu cha kutathmini maendeleo ya sekta hiyo, baadhi ya washiriki wamesema kuwa ni vigumu kuwaepusha wanafunzi wa kike na vishawishi, wakati wanashinda njaa shuleni, huku baadhi yao wakitoka nyumbani bila hata kunywa chai.

Akijibu hoja hizo Mwenyekiti wa kikao hicho, ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Jenerali Marco Gaguti, amezitaka Halmashauri zote kushirikikana na Serikali za Vijiji na wananchi, kuweka utaratibu wa kupata uji au chakula shuleni.

Awali akisoma taarifa za utekelezaji katika kikao hicho, Afisa Elimu wa Mkoa wa Kagera Juma Mhina, amesema kuwa mimba kwa wanafunzi zimepungua kutoka 201 mwaka 2018 hadi kufikia mimba 65 Novemba 2019a

HABARI ZAIDI

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross