Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Ali Kiba akikataa, asije nikifa" - Haji Manara

Saturday , 7th Dec , 2019

Msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara, ametangaza kuwa endapo msanii wa BongoFleva Ali Kiba akishindwa kuimba kwenye harusi yake basi hata akifa asiende kumzika.

Haji Manara upande wa (kushoto) na msanii Alikiba upande wa (kulia).

Haji Manara alizungumza hayo kwenye hafla ya chakula cha usiku kati ya wasanii na waandishi wa habari iliyyofanyika katika moja ya hoteli iliyopoa Masaki jijini Dar Es Salaam.

Kupitia EATV & EA Radio Digital Haji Manara ameeleza mipango yake ya kuoa ifikapo mwaka 2020 na lazima msanii Ali Kiba aimbe, akikataa au asipokuja basi hata kwenye msiba wake asiende,

"Sina Mke kwa sasa labda mnitafutie, nitaoa mwakani sisemi ni lini maana mtaniroga, ila ndiyo itakuwa mara ya kwanza Ali Kiba na wasanii wengine wataimba kwenye jukwaa moja aidha watataka au hawataki" amesema Haji Manara 

Pia ameendelea kusema "Nataka wajue mimi ndiyo kaka yao, Ali Kiba na wasanii wengine wataimba wakati mimi nitakapooa, kama hawataki mimi na wao uhusiano basi,  kwa sababu wote ni wadogo zangu, wakikataa kuja au kuimba hata nikifa Leo wasije" 

Aidha amesema Ali Kiba ni mwanaye na ndugu yake tangu udogoni ambaye  amekuwa anamuona mikononi mwake.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi