Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kamikaze agonga msumari wa mwisho kwa Vanessa Mdee

Wednesday , 11th Dec , 2019

Rapa anayewakilisha pande za Singida, Cyrill Kamikaze, amegongelea msumari wa mwisho kwa Vanessa Mdee na kusema, alivyomtolea lugha chafu hadhani kama alimaanisha ila alikuwa na hasira na mawazo na kwamba hawezi kumjibu chochote.

Msanii wa muziki Bongo, Cyrill Kamikaze na Vanessa Mdee.

Kamikaze ameeleza hayo mbele ya kamera za EATV & EA Radio Digital, baada ya kuulizwa kuwa  alichukuliaje kauli ya Vanessa Mdee, kumwambia hapendi wanaume ambao wana tabia za kike ambapo amejibu.

"Hilo lishapita labda tuweke msumari wa mwisho, sikuwahi kufanya chochote wala kuongea lolote kitu kilichotokea ni kati yake na Jux kwenye mapenzi yao, mimi sijawahi kuingilia na kujua chochote kama aliongea hivyo ni fresh"  amesema Cyrill Kamikaze.

Aidha Kamikaze ameongeza kuwa "Kwa yeye kuongea vile sijui alikuwa katika hali gani na alimaanisha nini, sijawahi kukaa naye kumuuliza lakini nina imani hakuongea kile kitu kwa kukimaanisha, unajua kuna muda unaweza ukaongea kitu kwa kuwa una hasira au mawazo kwa sababu ya vitu vingi, sijawahi kumhukumu na siwezi kurudisha neno lolote".

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala