Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mfungwa Mbeya aliyekataa kurejea Uraiani afuatwa

Wednesday , 11th Dec , 2019

Hatimae kijana Merald Abraham, aliyekuwa amefungwa kwenye Gereza la Ruanda, mkoani Mbeya na kukataa kurejea Uraiani, baada ya kupata msamaha wa Rais Magufuli, tayari ndugu zake wamekwishamchukua na kuondoka naye nyumbani.

Kijana Merald Abraham aliyegoma kurudi Uraiani.

Akizungumza leo Desemba 11, 2019, Mkuu wa Magereza Mkoa wa Mbeya, Kamishna Msaidizi Mathias Mkama, amesema kuwa kijana Abraham anaonekana hayuko sawa kiakili, kutokana na yeye kukaa gerezani kwa muda mrefu.

"Raia huru yeyote ana Uhuru wa kuzungumza chochote, lakini ninachokijua kwamba huyo hakuwa mfungwa tena bali ni raia mwema, tulitoa huduma baada ya kujijeruhi na kuangalia kama ana tatizo jingine, huyu mtu amekuwa na akili inayobadilikabadilika inawezekana ni kutokana na kukaa gerezani muda mrefu au athari zake kutokana na matendo yake, kiufupi huyu raia hayupo gerezani ndugu zake walikuja kumchukua na wameelekea kwao Mwakaleli" amesema Mkuu wa Magereza.

Kijana Merald Abraham, alizua taharuki siku ya jana ya Desemba 10, 2019, baada ya kugoma kurejea Uraiani kwa kile alichokieleza kuwa hana pa kwenda na kuomba kama ikiwezekana ahamishiwe katika Gereza Kuu la Ukonga, Jijini Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari